Matthew 15:12-14
12Kisha wanafunzi wake wakamjia na kumuuliza, “Je, unajua kwamba Mafarisayo walichukizwa sana waliposikia yale uliyosema?” 13 aAkawajibu, “Kila pando ambalo Baba yangu wa mbinguni hakulipanda, litang’olewa. 14 bWaacheni; wao ni viongozi vipofu, wanaoongoza vipofu. Kama kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, wote wawili watatumbukia shimoni.”
Copyright information for
SwhKC